Kampeni ya Kitaifa Kuhusu Malezi Chanya ya Watoto Yazinduliwa

0


 

#MatukioKatikaPicha

Uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Maadili na Malezi Chanya kwa Watoto yenye kaulimbiu isemayo “Mtoto ni Malezi; Msingi wa Familia Bora kwa Taifa Imara.” (Tuanzie nyumbani) ambapo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima, amezindua 

Kampeni hiyo inayolenga  kuhamasisha wazazi, walezi na jamii kuhusu umuhimu wa malezi chanya, maadili mema na ulinzi wa watoto dhidi ya ukatili pamoja na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii, ambapo itatekelezwa nchi nzima hadi Juni 30, 2026.

Uzinduzi huo umefanyika leo Mei 24, 2026 wilayani Handeni mkoani Tanga kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika.

chanzo: maendeleo ya jamii










Chapisha Maoni

0 Maoni
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Chapisha Maoni (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top