Mhandisi Johnston Mtasingwa Aongoza Kura za Maoni Jimbo la Bukoba Mjini

0



Bukoba: Mhandisi  Johnston Mtasingwa  ameongoza kura za maoni katika jimbo la Bukoba mjini kwa kupata kura 1,408 huku wenzake wanne walioshiriki uchaguzi huo wa kupata mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia chama cha Mapinduzi (CCM) wakipata kura 1550.

Akitangaza matokeo hayo Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Bukoba Mjini, Shabani Mdoe ametangaza kura za maoni ambapo amewataja wengine waliogombea kuwa ni Alex Denis Kura 804 , Almasoud Kalumuna kura 640 Jamila Hassan kura 66 na Koku Rutha kura 44

Amesema kuwa wapiga kura waliojiandikisha ni 3033 waliojitokeza kupiga kura ni 2978 zilizoharibika ni kura 20 na kura halali ni 2958.









Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top