Mgore Miraji Kigera Aongoza Kura za Maoni Jimbo la Musoma Mjini

0


Mgore Miraji Kigera ameongoza  kura za Maoni Kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Katika Jimbo la Musoma Mjini Kwa kupata kura 2,255 huku Juma Mokiri akishika Nafasi ya pili Kwa kupata Kura 1,543.

Akitangaza Matokeo hayo Leo 4 Agosti 2025, katibu wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Musoma Mjini Burhan Ruta, Amewataja wagombea wengine kuwa ni Eliud Tongora Esseko(Mkorea) Kura 115, Mashaka Nelson Biswalo Kura 44, John Kyabwe Bwana Kura 43 pamoja na Philbert Korogo Sasita Kura 34.

Amesema wajumbe Kutoka katika kata 16 za Jimbo la Musoma Mjini waliojitokeza Kupiga  Kura ni 3796, Kura zilizoharibika ni 62 na Kura halali ni 3734.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top