Je Unapopata Taarifa kwenye Simu Yako, Je Huwa Unafanyaje Kabla ya Kuiamini na Kuisambaza?

0

 


Baadhi ya taarifa husambazwa na Watu bila kujua ni si sahihi na nyingine uandaliwa na kusambazwa kwa makusudi ili kupotosha umma.

Kabla ya kuamini taarifa unayoiona mtandaoni na kuisambaza fahamu ya kwamba,Kuongezeka kwa matumizi ya mitandao ya kijamii, kwenye facebook, Twitter, Tik tok,WhatsApp na majukwaa mengine ya kidijitali kumefanya wananchi kupokea taarifa nyingi kila siku, lakini si kila taarifa inayofika kwenye simu zao huwa ya kweli, sahihi.

Baadhi ya taarifa husambazwa na watu bila kujua kuwa si sahihi, hali inayoweza kuitwa misinformation. Nyingine huandaliwa au kusambazwa kwa makusudi ili kupotosha umma, hali inayojulikana kama disinformation. Taarifa hizo zinaweza kuathiri maamuzi ya watu, kuongeza hofu, kuchochea migawanyiko au kuharibu sifa za mtu au taasisi.

Ebu tuambie kwa unapopokea taarifa Unapopokea kwenye simu yako huwa unafanya nini kabla ya kuiamini au kuisambaza?

Je, huangalia chanzo, kutafuta ushahidi au kulinganisha na taarifa kutoka vyanzo vingine? Au wakati mwingine unaamini kwa sababu tu imetumwa na mtu unayemfahamu?

#Misinformation

#Disnformation

#HumanCenterDesign

Chapisha Maoni

0 Maoni
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Chapisha Maoni (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top