Mkurugenzi wa TAMWA Dr Rose Reuben amesema mradi wa 'Sauti Zetu' utatoa elimu kuhusu ukatili wa kijinsia mtandaoni kupitia vyombo vya habari, ili jamii itambue umuhimu wa kuripoti matukio ya udhalilishaji katika mamlaka husika na hivyo kupata haki.
Chanzo: TAMWA
@German Embassy European Union in Tanzania




