Dar es Salaam Yashika Namba Moja Usajili wa Miradi TIC

0


Mkoa wa Dar es Salaam unaongoza kwa usajili Miradi Katika kituo Cha uwekezaji Tanzania(TIC)

Kwa mujibu wa ripoti ya kituo uwekezaji Tanzania ya usajili wa miradi kwa Mikoa katika kipindi cha Januari - Machi 2025, Mkoa wa Dar es Salaam unashika nafasi ya kwanza, Mkoa Pwani unashika Nafasi ya Pili, Arusha nafasi ya tatu, Dodoma Nafasi ya nne huku mikoa ya  Geita na Morogoro ikishika nafasi ya Tano.

Chanzo: Kituo Cha Uwekezaji Tanzania

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top