Newcastle yajiunga na mbio za kumsajili Delap

0

 Newcastle United ni miongoni mwa vilabu vinavyotarajiwa kufanya mazungumzo na mshambuliaji wa Ipswich Town mwenye umri wa miaka 22 Liam Delap wiki hii. (Talk sport)


Manchester United wanaongoza katika kinyang'anyiro cha kumsajili Delap lakini kushindwa katika fainali ya Ligi ya Europa na kutoweza kumpatia soka la Ulaya msimu ujao kutaipa Chelsea faida. (ESPN)

Manchester City itamenyana na Liverpool kuwania saini ya Mchezaji wa Bournemouth mwenye umri wa miaka 21 na beki wa kushoto wa Hungary Milos Kerkez. (i paper- usajili unahitajika)

Brighton imekubali kumsajili beki wa Ufaransa Olivier Boscagli, 27, kwa uhamisho wa bure kutoka PSV Eindhoven. (Sky Sports)

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top